Fahari ya Serengeti

Saturday, February 17, 2018

MATUMIZI YA VYOO BORA YATAPUNGUZA MAGONJWA YA KUAMBUKIZWA.

 Afisa afya Mamlaka ya Mji Mdogo wa Mugumu wilaya ya Serengeti Hellen Tupa akielezea athari za kutokutumia vyoo bora kwa wakazi wa kitongoji cha Kitahuru Kijiji cha Nyagasense ,baada ya kubainika kuwa wananchi wengi wanajisaidia vichakani.

Kupitia Mradi wa RAIN unaotekelezwa na amref health tanzania kwa kushirikiana na halmashauri kwa ufadhiliwa na Cocacola Africa Foundation ,amesema ujenzi wa vyoo bora na kuvitumia kutapunguza magonjwa ya kuambukizwa ambayo yanawagharimu fedha nyingi kwa ajili ya tiba.
 Wanafuatilia maelezo yanayotolewa.
 Usafi baada ya kutoka chooni ni muhimu kwa afya.





0 comments:

Post a Comment