Fahari ya Serengeti

Monday, January 29, 2018

WAJITOKEZA KWA WINGI UZINDUZI WA WIKI YA SHERIA

 Viongozi mbalimbali wa wilaya wakiwa na watumishi wa Mahakama ya wilaya ya Serengeti kwenye maandamano ya Uzinduzi wa Wiki ya Sheria yenye Kauli mbiu ya ,MATUMIZI YA TEHAMA KATIKA UTOAJI HAKI KWA WAKATI NA KWA KUZINGATIA MAADILI.
 Baadhi ya watoto wa kike waliokimbia kukeketwa wakipaza sauti juu ya utendaji wa Haki kwa wakati kunavyosaidia ustawi wa Jamii.
 Wanapaza sauti
 Maandamano yanaendelea kama ilivyopangwa
 Wanafunzi hawakubaki nyuma
 Wanasonga mbele
 Wanakatisha mjini wakipaza sauti
 Ujumbe unatolewa kwa njia za nyimbo na mabango
 Mwalimu anaelekeza
 Wanasonga kwa kasi

 Wanaendelea
 Makamanda hawakubaki nyuma
Katibu tawala wilaya Cosmas Qamara akitoa nasaha kwa wadau mbalimbali

0 comments:

Post a Comment