Fahari ya Serengeti

Monday, January 8, 2018

UJENZI WA KANISA LA MT FRANSISKO WA ASIZI MUGUMU INAENDELEA VIZURI

 Ujenzi wa kanisa Katoliki Parokia ya  Mt Fransisko wa Asizi Mugumu Serengeti kwa michango ya waumini na wadau mbalimbali walio ndani na nje ya wilaya ya Serengeti inaendelea vizuri kama inavyoonekana,waumini na wadau wa maendeleo mnaombwa kuendelea kuchangia kazi hii,maana ni HERI KUTOA KULIKO KUPOKEA...
 Kazi inaendelea


0 comments:

Post a Comment