Fahari ya Serengeti

Saturday, January 13, 2018

WANACCM WATAKIWA KUJITOKEZA KAMPEINI YA JENGA HOSPITALI KWA SH 1000

 DC Serengeti Nurdin Babu akiwasilisha taarifa ya Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM kwa kipindi cha januari -desemba 2017 katika kikao cha Halmashauri kuu ya CCM wilaya,pamoja na mambo mengine amewasisitiza wanaCcm kuwa mstari wa Mbele kuchangia kampeini ya Jenga Hospitali ya Wilaya kwa sh 1000 ili waweze kupata fedha za kukamilisha ujenzi awamu ya kwanza na kuruhusu kufunguliwa mwezi februari mwaka huu.
 Wanafuatilia
 Wanafuatilia taarifa
 Anasisitiza

0 comments:

Post a Comment