Fahari ya Serengeti

Monday, January 29, 2018

UZINDUZI WA WIKI YA SHERIA WAWAKUTANISHA WADAU MBALIMBALI SERENGETI

 Katibu Tawala wilaya ya Serengeti Cosmas Qamara kulia akiongoza maandamano ya ufunguzi wa wiki ya sheria ambayo yameshirikisha wadau mbalimbali wilayani hapa.
 Wanafunzi wakipaza sauti kupeleka ujumbe kwa wadau mbalimbali wakati wa maandamano ya uzinduzi wa wiki ya sheria wilaya ya Serengeti
 Wanasonga huku wakiwa wamebeba ujumbe ambao ni kauli mbiu ya wiki ya Sheria,MATUMIZI YA TEHAMAKATIKA UTOAJI WA HAKI.

Asiye na mwana alibeba mbeleko mwenye mwana akabeba mwana

0 comments:

Post a Comment