Fahari ya Serengeti

Saturday, January 13, 2018

WANNE WAJIEUNGUA CHADEMA NA KUJIUNGA NA CCM SERENGETI

 Mmoja wa wanachama wa Chadema kutoka Mtaa wa MCU Mugumu wilaya ya Serengeti akionyesha kadi ya Chadema muda mfupi baada ya kujiengua na kupokelewa na CCM wakati wa Kikao cha Halmashauri kuu ya CCM wilaya.
 Wajumbe wa Halmashauri kuu ya CCM wilaya ya Serengeti wakifuatilia taarifa mbalimbali zilizokuwa zinawasilishwa katika kikao cha kupokea taarifa ya Utekelezaji wa Ilani ya CCM kwa kipindi cha januari hadi desemba 2017.

 Dc Serengeti Nurdin Babu akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa Ilani ya CCM MWAKA 2017
Wanachama waliojieungua Chadema na kujiunga na CCM.

0 comments:

Post a Comment