Fahari ya Serengeti

Monday, January 22, 2018

ASKOFU ATABARUKU ALTARE YA KANISA KATOLIKI ISSENYE

 Baba Askofu wa Jimbo Katoliki Musoma Michael Msonganzila akitabaruku altare ya kanisa Katoliki Parokia ya Issenye ikiashiria kuanza kutumika kwa ajili ya misa takatifu,kazi hiyo imekwenda sambamba na kuadhimisha Jubilei ya Miaka 10 toka amepata uaskofu.
 Ibada inaendelea ya kutabaruku



0 comments:

Post a Comment