Fahari ya Serengeti

Monday, January 22, 2018

ASKOFU AWAONGOZA MAPADRI KUADHIMISHA MISA YA KUTABARUKU ALTARE

 Askofu wa Kanisa Katoliki jimbo la Musoma Michael Msonganzila akiwaongoza mapadri wa jimbo hilo katika mageuzo ya Ekaristi Takatifu wakati wa Misa ya Kuabaruku altare ya Kanisa Katoliki Parokia ya Issenye na kuadhimisha Jubilei ya Miaka 10 toka amepata uaskofu.
 Mapadri wakitoa komnio kwa waumini

 Pongezi za kutimiza miaka 10 ya uaskofu zilizoambatana na zawadi zilitolewa
 Mapadri wanampongeza baba askofu kwa kutimiza miaka 10 ya uaskofu toka amechaguliwa.
 Mwenyekiti wa baraza la Walei Jimbo Katoliki Musoma Raymondi Nyamasagi na Makamu wake nao walimpongeza Baba askofu ,Masista na Paroko Kenedy Gurusha na kutoa zawadi za Ng'ombe na Kondoo
 Nasaha zilitolewa
 Picha ya Pamoja ilipigwa





0 comments:

Post a Comment