Fahari ya Serengeti

Monday, January 8, 2018

MBUNGE ATOA MSAADA KWA WATOTO WA MAZINGIRA MAGUMU

 Mbunge wa Viti maalum mkoa wa Mara Catherine Ruge(Chadema)ametoa msaada wa sare kwa wanafunzi 100 katika shule  tano za msingi  ikiwemo Majimoto,Ring'wani,Magange,Remng'orori ambao wanaishi katika mazingira magumu,lengo ni kufikia watoto zaidi ya 400 wilayani  Serengeti,msaada huo unalenga kuliwezesha kundi hilo kusoma .
Anatimiza dini iliyo ya kweli kwa kuwahudumia wahitaji,hapo anamsikiliza mmoja wa watoto walionufaika na msaada huo.
Add caption

 Mbunge anasikiliza shida mbalimbali za watoto wa shule ya msingi Majimoto

 Anahimiza umuhimu wa kusoma mara alipokutana na wanafunzi wa sekondari ya Ring'wani

Picha ya pamoja na viongozi ilipigwa

0 comments:

Post a Comment