Fahari ya Serengeti

Monday, January 8, 2018

WAZAZI WAJITOKEZA KUPELEKA WATOTO KUANZA MASOMO MUGUMU SERENGETI

 Baadhi ya wazazi wa Mjini Mugumu wilaya ya Serengeti wakiandikisha kwa mwalimu Nyamatage Musagasa wa shule ya Msingi Mugumu A wilayani Serengeti,ikiwa ni siku ya kwanza kuanza masomo mwaka huu.
 Elimu ndiyo msingi wa maisha
 Watoto nao wako tayari kwa kuanza masomo kama wanavyooonekana
Kila mzazi na mwanae ili ahakikishe anasajiriwa kwa ajili ya kuanza masomo

0 comments:

Post a Comment