Fahari ya Serengeti

Friday, March 31, 2017

VIONGOZI WA VIJIJI ,DINI,SHULE NA KATA YA MBALIBALI WILAYANI SERENGETI WAJENGEWA UWEZO

 Mada mbalimbali zikitolewa na Paul Makuri mmoja wa wahitimu wa Shirika la FES ambalo limefadhili mafunzo hayo ambayo yanalenga jamii zilizoko pembezoni.
Mkaguzi wa ndani wa hesabu halmashauri ya wilaya ya Serengeti  JuliusNguruka akitoa mada kwa  viongozi wa vitongoji,vijiji,dini,walimu na wazee wa mila kata ya Mbalibali wilayani Serengeti ,juu ya utawala bora,ushirikishaji jamii na namna ya kutumia rasilimali zinazowazunguka kwa ajili ya kujiletea maendeleo,mafunzo yaliyoratibiwa na Shirika la Kijermani la Friedrick Ebarf Stiftung(FES) Tanzania ,lengo ni kuhakikisha jamii inashiriki katika mipango na kusimamia shughuli za maendeleo zinazotekelezwa katika maeneo yao.




Viongozi mbalimbali wakiendelea na semina
Dozi inazidi kuwaingia

1 comment:

  1. Nimefurahi kuona hii habari hapa kwenye blog yenu; Serengeti Media Centre.Tuendelee kuelimisha na kuhabarisha wananchi yetu. Sisi wananchi wa Serengeti tunawategemea sana.

    Kila la kheri ktk kazi zenu.

    ReplyDelete