Fahari ya Serengeti

Sunday, March 12, 2017

WAJITOKEZA KWA WINGI MAZOEZI YA KUKABILIANA NA MAGONJWA YASIYO YA KUAMBUKIZWA- SERENGETI

Katibu  Tawala wilaya ya Serengeti Cosmas Qamara kwa niaba ya Mkuu wa wilaya hiyo Nurdin Babu akitoa nasaha kwa watu waliojitokeza kwenye uzinduzi wa mazoezi ya kupambana na magonjwa yasiyo ya kuambukizwa kama kisukari na ugonjwa wa moyo kwenye uwanja wa Sokoine mjini Mugumu.
 Baadhi ya watu waliojitokeza kwenye mazoezi wakibadilishana mawazo mara baada kumaliza zoezi


 Wakifuatilia maelekezo ya namna ya kufanya mazoezi.

 Katibu tawala akishaurina na watalaam mbalimbali wa afya
 Mtaalam wa afya ya viungo hospitali ya Nyerere akitoa maelekezo namna ya kufanya mazoezi yanayoleta afya .




 Padri Aloyce Magabe akiongoza zoezi la viungo.

 Mallya akitoa maelekezo ya namna ya kufanya mazoezi ya viungo

 Babu Chile akipasha




 Askari Polisi waliongoza mazoezi
Wanapasha

0 comments:

Post a Comment