Fahari ya Serengeti

Tuesday, March 7, 2017

UJENZI WA SHULE YA WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM WAENDA KASI

Ujenzi wa shule ya mahitaji maalum Mugumu waenda kasi sana kama inavyoonekana
Mbunge wa Jimbo la Serengeti Mkoa wa Mara Marwa Ryoba akipata maelezo kuhusiana na ujenzi wa shule yenye mahitaji maalum Mugumu ,Zaidi ya watoto 200 wanatarajiwa kunufaika na mradi huo.
 Mafundi wakiendelea na ujenzi wa shule ya watoto wenye mahitaji maalum
 Kazi zinaendelea







0 comments:

Post a Comment