Fahari ya Serengeti

Sunday, March 19, 2017

MKUU WA MKOA WA MARA AKAGUA UJENZI WA MADARASA NA BWENI LA WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

Mkuu wa Mkoa wa Mara Dk Charles Mlingwa akikagua ujenzi wa madarasa manne na bweni la watoto wenye mahitaji maalum shule ya msingi Mugumu wilayani Serengeti ambayo yanagharimu zaidi ya sh 245 mil.Kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Serengeti Nurdin Babu.







 Shughuli za ujenzi zinaendelea.
 Rc Dk Mlingwa akitoa akielezea misimamo ya serikali kwa wananchi wa Robanda ikiwemo matumizi mazuri ya fedha zinazotokana na uhifadhi,kuacha kuingiza mifugo kwenye maeneo yaliyohifadhiwa.





Mwenyekiti wa kamati ya ujenzi wa vyumba vinne vya madarasa na bweni la watoto wenye mahitaji maalum shule yamsingi Mugumu Robert Ng'oina akitoa taarifa ya mradi huo baada ya mkuu wa mkoa kukagua mradi huo.Picha zote na Serengeti Media Centre.

0 comments:

Post a Comment