Fahari ya Serengeti

Friday, March 24, 2017

BEI YA VYAKULA SOKO LA MUGUMU YAZIDI KUPAA

 Baadhi ya wauza nafaka za vyakula katika soko la mjini Mugumu wilayani Serengeti wakisubiri wateja,bei  ya mahindi kwa debe ni sh 25,000 hadi 26,000,mtama sh 30,000 ,na udaga ni sh 18,000.bei hizo zimepanda ndani ya wiki moja.

Wauza nafaka hao wanadai kuwa bei hizo zitazidi kupanda kutokana na kuadimika kwa chakula katika maeneo mengine.
 Biashara zinaendelea,


0 comments:

Post a Comment