Fahari ya Serengeti

Friday, March 31, 2017

VIONGOZI WA VIJIJI ,DINI,SHULE NA KATA YA MBALIBALI WILAYANI SERENGETI WAJENGEWA UWEZO

 Mada mbalimbali zikitolewa na Paul Makuri mmoja wa wahitimu wa Shirika la FES ambalo limefadhili mafunzo hayo ambayo yanalenga jamii zilizoko pembezoni. Mkaguzi wa ndani wa hesabu halmashauri ya wilaya ya Serengeti  JuliusNguruka akitoa mada kwa  viongozi...

KESI YA NGARIBA YAPIGWA TAREHE

SERENGETI MEDIA CENTRE Ngariba Wansato Buruna kushoto akiwa mahakamani ,kulia ni mwenzake ambao wanashitakiwa kwa makosa ya kukeketa watoto. Kushindwa kufika mahakamani kwa watoto ambao ni wanafunzi kumesababisha kesi  tano  za jinai zinazomkabili  Ngariba...

SERENGETI MEDIA CENTRE: JELA MIAKA 30 KWA KUBAKA

SERENGETI MEDIA CENTRE: JELA MIAKA 30 KWA KUBAKA: Serengeti Media Centre. Joseph Nyiboha(22)mkazi wa kijiji cha Borenga wilayani Serengeti Mkoani Mara amehukumiwa kifungo cha miaka...

JELA MIAKA 30 KWA KUBAKA

Serengeti Media Centre. Joseph Nyiboha(22)mkazi wa kijiji cha Borenga wilayani Serengeti Mkoani Mara amehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela  kwa kosa la kubaka na kumpa mimba mwanafunzi aliyekuwa amechaguliwa na kujiunga na  kidato cha kwanza Machochwe sekondari. Hata...

Thursday, March 30, 2017

JELA KWA KUISHI NCHINI BILA KIBALI

Serengeti Media Centre Gari la Polisi likitoka mahakama ya wilaya kupeleka mahabusu ya Mugumu waliohukumiwa vifungo na mahabusu,Picha na Serengeti Media Centre. .Mahakama ya Hakimu Mkazi wa  wilaya ya Serengeti mkoani Mara imemhukumu Julius Chacha(50)kifungo cha...

MWENYEKITI WA SERIKALI YA KIJIJI CHA BORENGA AKATALIWA NA WANANCHI

Wajumbe wa serikali ya kijiji cha Borenga kata ya Kisaka wilayani Serengeti wakiwa wamekaa chini ya mti hawana la kufanya kufuatia afisa mtendaji wa kata hiyo Mturi Sausi kuingia mtini baada ya kubaini kuna waandishi wa habari wanafuatilia sakata la Mwenyekiti wa serikali...

Tuesday, March 28, 2017

SINGITA GRUMETI FUND YAKABIDHI MRADI WA MAJI MTIRIRIKO

 Mkuu wa wilaya ya Serengeti Nurdin Babu akikata utepe kama ishara ya kupokea mradi wa maji Mtiririko katika kijiji cha Iharara uliojengwa na Kampuni ya Singita Grumeti Fund kwa ushirikiano na Shule ya Sekondari ya Issenye na wananchi,kulia kwake ni Mkurugenzi wa Singita...

Friday, March 24, 2017

BEI YA VYAKULA SOKO LA MUGUMU YAZIDI KUPAA

 Baadhi ya wauza nafaka za vyakula katika soko la mjini Mugumu wilayani Serengeti wakisubiri wateja,bei  ya mahindi kwa debe ni sh 25,000 hadi 26,000,mtama sh 30,000 ,na udaga ni sh 18,000.bei hizo zimepanda ndani ya wiki moja. Wauza nafaka hao wanadai kuwa bei...

Sunday, March 19, 2017

MKUU WA MKOA WA MARA AKAGUA UJENZI WA MADARASA NA BWENI LA WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

Mkuu wa Mkoa wa Mara Dk Charles Mlingwa akikagua ujenzi wa madarasa manne na bweni la watoto wenye mahitaji maalum shule ya msingi Mugumu wilayani Serengeti ambayo yanagharimu zaidi ya sh 245 mil.Kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Serengeti Nurdin Babu.  Shughuli...

Saturday, March 18, 2017

TANESCO WAAHIDI KUSAMBAZA UMEME MAENEO YOTE YA ROBANDA

Meneja wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco)wilaya ya Serengeti Mhandisi Magoti Mtani akitoa maelezo mbele ya Mkuu wa Mkoa wa Mara Dk Charles Mlingwa kushoto jinsi walivyosambaza umeme katika kijiji cha Robanda kwa kupitia chini(Underground)na kuahidi kuwa ya kipaumbele kama...