Dc Serengeti Nurdin Babu akiangalia kazi ya uuchenjuaji dhahabu katika mgodi wa Nemic ulioko Nyigoti ,hata hivyo kazi hiyo inakabiliwa na changamoto kubwa ya ukosefu wa vifaa vya kisasa ikiwemo vifaa vya kujikinga kwa wanaohusika.
Akina mama wakiponda mawe kwa...
Monday, February 26, 2018
MIFUGO MARUFUKU MAENEO YA UHIFADHI
Boniphace Chacha meneja wa Shamba la Mifugo la Vedastus Mathayo kushoto akimwomba radhi Marongoli anayemiliki eneo ambalo linatumika kwa utalii wa asili katika kijiji cha Bokore wilaya ya Serengeti baada ya kubainika kuingiza mifugo katika eneo hilona kuharibu mazingira...
DC SERENGETI ATATUA MGOGORO WA WAFUGAJI NA UHIFADHI
Mkuu wa wilaya ya Serengeti Mkoa wa Mara Nurdin Babu akielezea msimamo wa serikali dhidi ya watu wanaokaidi taratibu zilizopo wakati akitatua mgogoro kati ya meneja wa Shamba la Mathayo na eneo la Uhifadhi la Ikoma Culture Centre katika kijiji cha Bokore.
Amesema mifugo...
KATIKA KUHAKIKISHA WAFUNGWA WANAPATA TAARIFA MBUNGE AWAPA KING'AMUZI NA TV
Mbunge wa jimbo la Serengeti Marwa Ryoba akikabidhi king'amuzi na Tv Msaidizi wa gereza mahabusu Mugumu kwa ajili ya wafungwa na mahabusu ikiwa ni katika kutimiza haki ya kupata taarifa ,msaada huo una thamani ya sh 650.000=
Askari magareza wakielezea jinsi...
Saturday, February 17, 2018
MATUMIZI YA VYOO BORA YATAPUNGUZA MAGONJWA YA KUAMBUKIZWA.
Afisa afya Mamlaka ya Mji Mdogo wa Mugumu wilaya ya Serengeti Hellen Tupa akielezea athari za kutokutumia vyoo bora kwa wakazi wa kitongoji cha Kitahuru Kijiji cha Nyagasense ,baada ya kubainika kuwa wananchi wengi wanajisaidia vichakani.
Kupitia Mradi wa RAIN unaotekelezwa...
KARIBU SERENGETI WAZIRI
Dc Serengeti Nurdin Babu kulia akimkaribisha Waziri wa Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano Prjofesa Makame Mbawala baada ya kuwasili daraja la Kimkakati la Mto Mara kwa ajili ya kuangalia utekelezaji wa shughuli,daraja hilo lilianza kujengwa februari 2017 na linatarajiwa...
RIGHT TO PLAY YAANDAA TIMU YA KUFUNDISHA KWA NJIA YA MICHEZO
Mwezeshaji toka Right To Play Leah Tarimo akiongoza kipindi cha Changamoto za elimu kwa kikosi maalum kinachounda na waratibu elimu na Wadhibiti Ubora wa Elimu wilaya yaSerengeti Mkoa wa Mara ambao watahusika na kuelimisha walimu ufundishaji kwa kutumi njia ya...