Fahari ya Serengeti

Sunday, January 1, 2017

YALIYOJIRI IBADA YA MWAKA MPYA KANISA LA RC MUGUMU

 Ni miongoni mwa watoto kumi waliopata Sakramenti ya Komnio katika ibada ya Misa ya Familia Takatifu(mwaka mpya)Kanisa Katoliki Mugumu Serengeti ambapo ndoa moja imefungwa .
 Padri Alois Magabe akiendesha ibada ya Ubatizo wa Wilson Kanga ambaye amebariki ndoa na Mkewe Sarafina

 Wanashikana kwa upendo baada ya kubariki ndoa yao.
 Kwaya ya Mtakatifu Fransisco wa Asizi Parokia ya Muguu Serengeti wamehanikiza vema kwa nyimbo wakati wa ibada ya misa takatifu ya mwaka mpya.
 Wanandoa wakiwa wanafuatilia mahubiri
 Wanahubiri kwa njia ya nyimbo,wamechagua fungu lililojema.
 Sweetbertha akitoa sadaka
 Waumini wakifuatilia mahubiri.
 Misa ikiendelea
 Wamepata Komnio
 Matoleo yametolewa na hapo wanabariki
 Ibada inaendelea
 Wanafurahia kupata komnio

 Kama ilivyokuwa kwa Mamajusi waliofuata nyota ,waumini nao wanakwenda horini
HONGERA ALICE

0 comments:

Post a Comment