Fahari ya Serengeti

Monday, January 9, 2017

WAFUZU MAFUNZO YA MGAMBO,DC ACHIMBA MKWARA KWA WAKEKETAJI

 Dc Serengeti Nurdin Babu akipokea maelezo kutoka kwa kiongozi wa waliohitimu Mafunzo ya Mgambo katika kijiji cha Nyichoka wilaya ya Serengeti,mafunzo hayo yaliyochukua muda wa miezi mitatu yalishirikisha jumla ya watu 97 lakini waliohitimu ni 77 wanawake wakiwa wanne.
 Wanaonyesha uwezo wao mbele ya mgeni rasmi.
 Mkufunzi wa mgambo Marwa Makorere akitoa maelekezo kwa mgambo waliofuzu
 Gwaride
 Makamanda wakifuatilia gwaride
 Mambo yanaenda yakiongezeka

 Single inamsumbua,mkufunzi anamwambia asiwe kama maserure(majeruhi)

 Msisitizo
 Wanakimbia kikakamavu

0 comments:

Post a Comment