Fahari ya Serengeti

Friday, January 20, 2017

DC SERENGETI AONGOZA TIMU KUTATUA MGOGORO PARKNYIGOTI

 Dc Serengeti Nurdin Babu wa pili kushoto akiongozana na timu ya watalaam na wananchi wa kijiji cha Parknyigoti kutatua mgogoro wa ardhi uliodumu kwa muda mrefu,hata hivyo viongozi wa kijiji hicho wanadaiwa kuongoza katika migogoro ya ardhi ikiwemo kujenga nyumba za kudumu katika eneo la malisho.
 Mjadala wa utatuzi wa ardhi unaendelea.



 Muafaka unatafutwa








 Dreva wa gari la Dc Serengeti Mhegete mhegete akisaidia kumzalisha ng'ombe baada ya kumkuta anahangaika katika kijiji cha Park nyigoti wilayani Serengeti.



 Ng'ombe akimsafisha ndama baada ya kuzaa.

 Wananchi wa kijiji cha Parknyigoti wakiwa kwenye mkutano wa hadhara.
 Dc Serengeti Nurdin Babu wa pili kulia akiwa kwenye mkutano wa hadhara wa kijiji cha Parknyigoti,miongoni mwa mambo yaliyojadiliwa ni mgogoro wa ardhi








0 comments:

Post a Comment