Fahari ya Serengeti

Tuesday, January 31, 2017

KITUO CHA AFYA NATTA SERENGETI CHAPOKEA AMBULANCE

Dc Serengeti Nurdin Babu akitoa maelezo ya matumizi ya gari lililotolewa na serikali kwa ajili ya akina mama wajawazito na watoto chini ya miaka mitano kwa Kituo cha Natta kabla ya kumkabidhi diwani wa kata hiyo ambaye ni Mwenyekiti wa Halmashauri Juma Porini wa kwanza kulia,Ded...

Monday, January 30, 2017

SHEREHE YA JUMUIYA YA MT.MARIA MUGUMU YAFANA

Wageni waalikwa,wanakwaya na wanajumiya ya Mtakatifu Maria kigango cha Mugumu Parokia ya Mtakatifu Fransisco wa Asizi Mugumu Jimbo Katoliki Mugumu wakipata chakula mara baada ya Misa Takatifu ambayo iliambatana na ubatizo wa watoto watano...

Tuesday, January 24, 2017

WATOTO 107 WAKATALIWA NA WAZAZI

 Baadhi ya watoto walioko katika Kituo cha Nyumba Salama Mugumu mjini Wilayani Serengeti ambao wamepewa hifadhi hapo baada ya mwaka jana kukimbia kukeketwa kutoka wilaya mbalimbali za  mkoa wa Mara,wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kumaliza kufanya mazoezi,Jumla...

Monday, January 23, 2017

NGARIBA NA WENZAKE WAPATA WAKILI WA KUWATETEA

 Ngariba Wansato Buruna na mwenzake wakiwa mahakamani,wamepata wakili wa kuwatetea,Picha na Serengeti Media Centre...

Friday, January 20, 2017

MAANDALIZI YA TUMBAKU YANAENDELEA

 Wakulima wa zao la tumbaku katika kijiji cha Gwikongo kata ya Mbalibali wilayani Serengeti wakiendelea na maandalizi kwa ajili ya hatua ya kukausha. Msimu unatarajiwa kufunguliwa februari 6 mwaka huu chini ya Kampuni ya Alliance One Tobacco Morogoro na bodi ya Tumbaku...

WALIOPORA NG’OMBE WATATU WA AJUZA WAKUBALI YAISHE WAREJESHA,

Goshiyi Maduhu(72)kulia na Anna Masoya(51) wakazi wa Wagete kataya Rigicha wilayani Serengeti wakati wakiongea na Serengeti Media Centre jinsi walivyorudishiwa mifugo yao .Picha na Serengeti Media Centre....

DC SERENGETI AONGOZA TIMU KUTATUA MGOGORO PARKNYIGOTI

 Dc Serengeti Nurdin Babu wa pili kushoto akiongozana na timu ya watalaam na wananchi wa kijiji cha Parknyigoti kutatua mgogoro wa ardhi uliodumu kwa muda mrefu,hata hivyo viongozi wa kijiji hicho wanadaiwa kuongoza katika migogoro ya ardhi ikiwemo kujenga nyumba za kudumu...

Wednesday, January 18, 2017

APORWA MIFUGO BAADA YA KUACHANA NA UGANGA NA UNGARIBA

UKOO WAMPORA MIFUGO ALIYEAMUA KUOKOKA NA KUACHANA NA UNGARIBA, “Wanadai ni adhabu ya kuachana na mila na desturi” Serengeti Media Centre.  Mkazi wa kijiji cha Wagete kata ya Rigicha wilayani Serengeti Mkoa wa Mara Goshiyi Maduhu(72)aliyeporwa mifugo baada ya kuokoka. Picha...

TUMBAKU YAANZA KUUZWA KWA MAGENDO

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

AKIRI KUUZIWA NYAMA YA NYUMBU NA MPANGAJI WAKE

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

Tuesday, January 17, 2017

CWT SERENGETI WACHAGUA VIONGOZI

Baadhi ya viongozi wa Chama cha Walimu Mkoa wa Mara(CWT)wakati wa kikao cha Uchaguzi wa baadhi ya Viongozi wilaya ya Serengeti. Baadhi ya wajumbe wakiwa kwenye kikao cha Uchaguzi wa viongozi wa CWT,nafasi ya Mweka hazina na mjumbe mmoja mwakilishi kutoka shule za sekondari Katibu...