Fahari ya Serengeti

Friday, August 7, 2015

MAFUNZO YA UHAKIKI

 Charles Mrema mtafiti akifafanua malengo ya Mpango wa Tanzania Civic and Political Rights Tracking(UHAKIKI)unaolenga kuboresha taarifa ya Haki za Binadamu kuanzia ngazi za chini.
 Anafafanua huku wataalam wengine wa mpango huo wakifuatilia
 Mkuta Masoli mwanasheria na mratibu wa dawati la Uangalizi wa Hakiza Binadamu kutoka Kituocha Sheria na Haki za Binadamu wakati akifafanua namna ya utekelezaji wa mpango wa Uhakiki.
Mjadala inaendelea

0 comments:

Post a Comment