Fahari ya Serengeti

Tuesday, August 25, 2015

CHADEMA WAANZA MIKUTANO YA AWALI KABLA YA UZINDUZI.

 Baadhi ya wananchi wakiwa juu ya mti wakufuatilia mkutano wa Chadema jimbo la Serengeti Mkoa wa Mara kwenye Uwanja wa Right To Play,mkutano huo waliodai ni awali utafuatiwa na uzinduzi rasmi wa Kampeini katika uwanja wa Mbuzi mjini hapo.
 Mwenyekiti wa Bavicha Mkoa wa Mara Juma Porini ambaye ni Mwenyekiti wa serikali ya kijiji cha Makunduzi,na mgombea udiwani kata ya Natta akimwaga sera .
 Mwenyekiti wa Chadema Wilaya wa pili kutoka kushoto Sang'uda Manawa ,katikati Marwa Ryoba Mgombea Ubunge jimbo la Serengeti,wakifuatilia hotuba kutoka kwa viongozi mbalimbali.
 Mwenyekiti wa Bavicha wilaya Mchina mwenye kofia ambaye ni mgombea udiwani kata ya Mugumu wakifuatilia mkutano.
 Mashabiki na wanachama wa chama hicho wakifuatilia hotuba.




 Mwenyekiti wa Chadema wilaya akiwa na Mweka hazina wa chama wilaya ambaye pia alikuwa diwani wa kata ya Nyamatare,David Maganya.
 Mgombea Ubunge Marwa Ryoba akimwaga sera
 Watu wakifuatilia hotuba kutoka kwa viongozi mbalimbali wa Chadema.
 Mgombea akinadi sera
 Mgombea ubunge akimnadi mgombea udiwani kata ya Mugumu








Biashara ya Mkaa iliendelea kama kawaida wakati wa Mkutano wa Chadema kama inavyoonekana,

0 comments:

Post a Comment