Fahari ya Serengeti

Tuesday, August 25, 2015

IBADA YA KUSTAAFU KWA KATEKISTA LUDOVICK

 Waumini wa kanisa katoliki Mugumu wilaya ya Serengeti Mkoa wa Mara waliofika katika ibada ya ya misa takatifu ya kumuaga katekista Ludovick Igonga aliyestaafu kwa umri.
 Wanaingia kanisani


 Wanakwaya wa kwaya ya Mt,Fransisco wa Asizi Parokia ya Mugumu wilaya ya Serengeti Mkoa wa Mara wakiingia kanisani kwa mbwembwe.
 Katekista Ludovick Igonga akiwa na Mkewe wakati wa Ibada ya misa takatifu ya kumuaga
 Mwalimu Peter Mwita akipiga kinanda wakati wa ibada hiyo.
Paroko Alois Magabe akiendesha ibada ya misa takatifu

0 comments:

Post a Comment