Fahari ya Serengeti

Wednesday, August 26, 2015

ACT WAZALENDO SERENGETI WAZINDUA KAMPEINI

 Kada wa Act Wazalendo jimbo la Serengeti akinadi sera za chama hicho siku ya uzinduzi.
 Viongozi wa Act wazalendo  baadhi wakisikiliza ,na wengine kutafakari kama inavyoonekana.



 Mashabiki wa Act wazalendo

 Mgombea wa Act wazalendo jimbo la Serengeti Thomas Burito akiwasiliana na mmoja wa makada wa chama hicho.
Mgombea wa Act wazalendo Thomas Burito mwenye Kipaza sauti akipongezwa na mashabiki wake kabla hajaanza kumwaga sera

0 comments:

Post a Comment