Fahari ya Serengeti

Monday, July 24, 2017

ZIARA YA KAMATI YA FEDHA MIPANGO NA UCHUMI YABAINI MAMBO MENGI

 Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Serengeti Juma Porini wa pili kulia akiwa na wajumbe wa kamati ya Fedha Mipango na Uchumi wakati wakikagua miradi ya maendeleo .
 Afisa Tabibu wa zahanati ya Rung'abure Johstone Bushanya akielezea sababu za waganga kutokuwepo kazini bila ruksa.
 Ukaguzi unaendelea


Mwenyekiti Juma Porini akikagua darasa la shule ya Msingi Nyansurumunti



 Umejibu vemaa


0 comments:

Post a Comment