Fahari ya Serengeti

Saturday, July 8, 2017

MRADI WA RAIN PROJECT UNAOTEKELEZWA NA AMREF AFRICA NA COCACOLA AFRIKA KUTATUA TATIZO LA MAJI MOSONGO SERENGETI

 Wakazi wa kijiji cha Kenokwe kata ya Mosongo wilayani Serengeti wakielekea katika kisima  cha maji kilichoko Mosongo umbali wa Kilometa nane,wakazi hao wanakabiliwa na tatizo kubwa la maji kwa ajili ya matumizi ya binadamu na mifugo,Hata hivyo kupitia Mradi wa Rain unaotekelezwa na AAmref Africa na Cocacola Afrika wanatarakiwa kuchimbiwa kisima kirefu,maeneo mengine yatakayonufaika na mradi huo ni Busawa,Machochwe na Kenyamonta.
 Meneja wa Rain Project Mhandisi Onesmo Stephano kulia akisaidia wakazi wa kijiji cha Kenokwe kumnyanyua Punda baada ya kutwisha mzigo wa Maji.

 Mradi huo utashughulika na suala la vyoo kwa shule za msingi.




 Kisima hicho hutegemewa na wakazi wa kata hiyo pamoja na mifugo.


0 comments:

Post a Comment