Fahari ya Serengeti

Wednesday, July 19, 2017

MAONESHO YA SABA YA UTALII WA KITAMADUNI YAFUNGULIWA SERENGETI

 Mmoja wa washiriki katika maonesho ya Serengeti Cultural Festival kutoka Mbeya akiwa na bidhaa yake ya madawa ya asili,Mkuu wa wilaya Nurdin Babu kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Mara Dk Charles Mlingwa amefungua rasmi maonesho hayo ya siku tatu.
 Wajasiriamali wa bidhaa mbalimbali walikuwepo,hilo ni Banda la Serengeti Group
 Msanii kutoka jijini Mwanza akisuka zulia kutumia nyuzi.



 Stephen Muhegete mmoja wa wakulima wa mboga mboga anazolima akiwa katika banda la maonesho kwa ajili ya kutoa elimu

 Burudani zinaendelea
 Kikundi cha ngoma ya Wamasai toka Robanda wakiingia uwanjani kwa ajili ya kutoa burudani
 Burudani zinaendelea
 Msanii kutoka Butiama
 Dc Serengeti akikagua mabanda
 Mjasriamali kutoka Mwanza akimpa Dc Maelezo ya bidhaa yake

 Dawa mbalimbali za asili kutoka kwa Dk Hoza kutoka Mbeya


 wanaangalia bidhaa aina mbalimbali
 Mapambo,shanga na bangili zilikuwepo



 Kikundi cha maua Mugumu
 Dc akisaini kwenye kitabu cha Serengeti Group



 Wanapata msosi



 Wana chuo cha Utalii Srengeti walikuwepo
 Mambo ya Setco
 Setco wakonga nyoyo za washiriki kwa maandalizi ya bidhaa zao ikiwemo keki,mikate na chakula


 Ulipo Tupo,CRDB Benki walikuwa mstari wa mbele

 NMB BENKI nao wameshiriki kwa nguvu zote


 Banda la Takukuru Serengeti

 NSSF MARA WAMESHIRIKI




 Banda la Maliasili na Utalii lililojumuisha bodi ya Utali na Tanapa


 Banda la Air Tanzania



0 comments:

Post a Comment