Fahari ya Serengeti

Wednesday, July 19, 2017

RC MARA AAGIZA UONGOZI WA WILAYA YA SERENGETI KUHAKIKISHA UJENZI WA HOSPITALI UNAKAMILIKA

 Mkuu wa Mkoa wa Mara Dk Charles Mlingwa akitoa maelekezo kwa viongozi wa wilaya ya Serengeti juu ya Ujenzi wa Hospitali ya Wilaya alipofanya ukaguzi wa kuangalia maendeleo ya kazi,ameagiza kuwa wanatakiwa kuweka mpango maalum wa kazi ,kazi gani inafanyika na kwa wakati gani ili kuwawezesha kupima na kufanya tathimini ya kazi.
 Mkuu wa wilaya ya Serengeti Nurdin Babu akitoa maelezo ya namna kazi zilivyofanyika na wanavyoendelea kuhakikisha kazi ya upigaji lipu inakamilika.

 Mafundi wakiwa kazini

0 comments:

Post a Comment