Fahari ya Serengeti

Tuesday, December 8, 2015

PICHA ZA MATUKIO YA KUAPISHWA MADIWANI NA UCHAGUZI WA MWENYEKITI SERENGETI



Mbunge wa jimbo la Serengeti katikati Mwalimu Ryoba Marwa akisoma karatasi ya maelekezo ya uchaguzi wa Mwenyekiti wa halmashauri na Makamu wake,kushoto ni Katibu Tawala wilaya Cosmas Qamara na kulia ni Mbunge wa Tarime Vijijini John Heche.
Madiwani wa halmashauri ya wilaya ya Serengeti na wageni waalikwa wakisikiliza utaratibu utakaotumika kutoka kwa Msimamizi wa Uchaguzi jimbo hilo Naomi Nnko.
Wanapata maelekzo ya namna ya kuapa
Kiapo
Baadhi wanasaini Kiapo
Hawa wanasoma kiapo chao kabla ya kuapa
Ayubu Makuruma diwani wa Busawe CCM aligombea nafasi ya Mwenyekiti na kupata kura 15

Kiapo
Kiapo
Anaapa



Wanafuatilia kiapo

















Mwenyekiti wa baraza la Madiwani halmashauri ya wilaya ya Serengeti Juma Porini akiwashukuru madiwani na kutoa mwelekeo wa halmashauri hiyo katika kipindi chake cha uongozi.


Kura zinapigwa


Katibu Tawala akitoa maelekezo
Wanahakiki kura zilizopigwa
Zoezi la kuhesabu lilijumuisha mawakala kutoka vyama vya Chadema na CCM.

Msimamizi wa Uchaguzi jimbo la Serengeti ambayeni Mkurugenzi Mtendaji Naomi Nnko akifuatilia zoezi la upigaji kura.
Makamu Mwenyekiti wa halmashauri Mwita Samweli katikati akipongezwa na mwenyekiti wa Chadema wilaya Sang'uda Manawa kulia.
HONGERA SANA.
PONGEZI ziliendelea baada ya kupata kura 28 dhidi ya 13 za mgombea wa CCM
ANATOA SHUKRANI.

John Heche mbunge wa jimbo la Tarime vijijini kushoto akiteta jambo na Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Serengeti Manawe katikati na Katibu wa Chadema Mkoa Chacha Heche kulia.
Mbunge wa jimbo la Serengeti Ryoba akiteta jambo na Mwenyekiti wa halmashauri Juma Porini,kulia ni makamu mwenyekiti.
Hongera kwa kuchaguliwa sasa tushirikiane kusukuma maendeleo ya wilaya yetu ili kukidhi matarajio ya wananchi,kauli ya Mbunge.


Picha mbalimbali zilipigwa baada ya uchaguzi.
Wao wanajiita makamanda




Kutokana na wingi wa watu wengine walikaa nje wakawa wanafuatilia mkkutano huo kwa kupitia vipaza sauti,ni tukio la kwanza toka halmashauri hiyo imeanza mfumo wa vyama vingi kukaa mpaka nje kama walivyokutwa.

Dua zilitolewa
Hata sala  pia
Wapiga picha walitekeleza majukumu yao






0 comments:

Post a Comment