Fahari ya Serengeti

Monday, December 21, 2015

MVUA KUCHELEWESHA UKAMILISHAJI WA UJENZI WA BARABARA YA LAMI MUGUMU SERENGETI

Mafundi wa kampuni ya Samota Ltd wanaojenga barabara ya km 3 kwa kiwangocha lami mjini Mugumu wilaya ya Serengeti kwa zaidi ya sh 1.2 bilioni ambayo inatakiwa kukamilika januari 6 mwakani wakiwa kazini,hata hivyo wanadai mvua zinazonyesha zinatawafanya wasikamilishe kwa wakati,picha zote na Serengeti Media Centre.



Ujenzi wa madaraja unakwenda sambamba na ujenzi wa mitaro

















0 comments:

Post a Comment