Fahari ya Serengeti

Friday, September 16, 2016

UTALII UTALII


Utalii ulinifikisha katika hifadhi hii nchini Afrika kusini
 Ikulu ya Afrika Kusini iliyoko mjini Pretoria ni ni mali ya wananchi hivyo  fursa tosha ya Utalii na biashara,wamachinga wanaendesha biashara maeneo hayo na wapiga picha ,utaratibu huo ni tofauti na nchi nyingi ambazo hata kusogea wananchi hawaruhusiwi.
 Sanamu ya Mandela iliyoko mbele ya Ikulu ya Afrika Kusini ni fursa tosha ya utalii na kwa wauza bidhaa ikiwemo wapiga picha.





 Eneo hili lililoko Ikulu ya Pretoria ni maarufu pia kwa wapiga picha,kwao ni fursa ya utalii ,inachangia wageni wengi kufika na kupiga picha hata maharusi,kwa kuwa Ikulu ni mali ya wananchi,ni tofauti na nchi nyingine.

0 comments:

Post a Comment