Fahari ya Serengeti

Saturday, September 24, 2016

MAKAMANDA WA POLISI WAENDELEA KUPATA DOZI YA ATHARI ZA UKEKETAJI NA UKATILI WA KIJINSIA

 Makamanda wa polisi  Serengeti wanaohudhuria  semina ya athari ya ukeketaji na ukatili wa kijinsia chini ya Mradi wa Tokomeza ukeketaji Serengeti unaotekelezwa na amref health afrika na LHRC wakiwa na wawezeshaji katika picha ya pamoja .
 Kamanda Abdallah Iddy akiwasilisha kazi ya makundi
 Makanda wakiwa wanajadiliana kwenye makundi
 Kazi zinaendelea
 Ilipobidi kutafuta taarifa mbalimbali kwa kupitia Google walifanya kutumia simu zao za kisasa
 Mijadala kwenye makundi inaendelea


Kushiriki kikamilifu ni moja ya kanuni yao kama inavyoonekana hapo

0 comments:

Post a Comment