Fahari ya Serengeti

Wednesday, September 21, 2016

MRADI WA TOKOMEZA UKEKETAJI SERENGETI WAWAJENGEA UWEZO MAHAKIMU NA WENYEVITI WA MABARAZA

 Mahakimu ,wenyeviti wa mabaraza ya Sheria na watumishi wa Mahakama wilaya ya Serengeti wajengewa Uwezo na Mradi wa Tokomeza Ukeketaji Serengeti juu ya Athari za Ukeketaji kwa watoto wa kike,Mradi huo unaotekelezwa na Amref health africa na Kituo cha Haki za Binadamu(LHRC)kwa Ufadhili wa UN Women unalenga kutokomeza vitendo vya ukatili wa kijinsia ikiwemo ukeketaji.

 Baadhi ya wawezeshaji wakiwa wanafuatilia mjadala kutoka kwa wanasheria.
 Afisa Mradi wa Tokomeza Ukeketaji Serengeti William Mtwazi(LHRC)akitoa maelezo ya mradi huo kwa mahakimu,wenyeviti wa mabaraza ya sheria na watendaji wa mahakama kwenye ukumbi wa Anita Motel.
 Meneja Mradi waTokomeza Ukeketaji Serengeti Godfrey Matumu(Amref health africa)akielezea malengo ya mradi na utekelezaji wake.

 Anna Henga mwanasheria kutoka LHRC akitoa ufafanuzi wa kazi za Kituo na umuhimu wake kwa jamii.

 Washiriki wa semina wakiwa wamesimama kwa ajili ya kutambuana
 Wanafuatilia mjadala
 Wawezeshaji wakiwa wanaendelea na maandalizi yao.









0 comments:

Post a Comment