Benki ya Posta Tanzania yasaidia meza na viti shule ya sekondari inayojengwa katika kijiji cha Robanda wilayani Serengeti ambayo inatarajiwa kufunguliwa mwaka kesho |
Majadiliano yanaendeleo
Dc Serengeti Nurdin Babu akishukuru baada ya kupata msaada huo ambao umepunguza ukubwa wa tatizo kwa asilimia 75 na madawati yanayohitajika kwa sasa ni 30.
Mkuu wa wilaya ya Serengeti Nurdin Babu akimkabidhi diwani wa kata ya Ikoma Michael Kunani kiti mara baada ya kukabidhiwa na afisa mtendaji mkuu wa benki ya Posta aliyeko kulia
0 comments:
Post a Comment