Fahari ya Serengeti

Wednesday, September 21, 2016

ELIMU YA ATHARI YA UKEKETAJI YAZIDI KUTOLEWA MAKUNDI MBALIMBALI,WANASHERIA,WAZEE WA MABARAZA YA SHERIA,WAENDESHA MASHITAKA NA WATUMISHI WA MAHAKAMA WAPATA DOZI

 Wawezeshaji wa mada za athari za ukeketaji na ukatili wa kijinsia wakifuatilia mjadala wakati wa semina kwa mahakimu,waendesha mashitaka,wazee wa mabaraza ya kisheria na watumishi wa mahakama wilaya ya Serengeti chini ya Mradi wa Tokomeza Ukeketaji unatekeleza na Amref health africa na LHRC,wa kwanza kushoto ni mganga mkuu wa wilaya Salum Manyatta,Anna Henga mwanasheria toka LHRC na Reginald Martini wakili toka LHRC.Ukumbi wa Anita Motel.
 Anna Henga akitoa mada
 Kila mmoja akiandika kila anachoona ni muhimu
 Anna Henga akielezea athari za ukatili wa kijinsia

 Dk Manyatta akielezea athari za ukeketaji kwa watoto wa kike
 mijadala inaendelea

 Picha ya Pamoja ilipigwa
 Wakili akitoa mada za kuhusu sheria na mikataba ya kimataifa inayopinga vitendo vya ukeketaji


0 comments:

Post a Comment