Fahari ya Serengeti

Thursday, May 24, 2018

WANAFUNZI SEKONDARI NYAMBURETI WATOA YAMOYONI

Ded Serengeti Juma Hamsini akijadiliana na wanafunzi wa sekondari ya Nyambureti juu ya changamoto zinazowakabili na mikakati ya halmashauri katika sekta ya elimu.
Anasisitiza wanafunzi hao kusoma na kuachana na mambo yanayowafanya washindwe kufikia matarajio yao na halmashauri inaendelea na mikakati ya kuboresha miundo mbinu ya elimu.
Anawapima uwezo kielimu

Mjadala jumuishi ukiendelea
Anasisitiza jambo mahsusi kwa wanafunzi mbele ya walimu na maafisa wengine.

0 comments:

Post a Comment