Fahari ya Serengeti

Tuesday, May 15, 2018

VIBUYU MCHIRIZI VYAIMARISHA USAFI SHULE ZA MSINGI

 Walimu,wazazi na baadhi ya maafisa wa Mradi wa Usafi kwa Afya unaotekelezwa na amref health tanzania wakiangalia kibuyu mchirizi katika shule ya Msingi Tabora B wilaya ya Serengeti Mkoa wa Mara ambavyo vimesaidia kuimarisha usafi wa wanafunzi watokapo chooni.
 Mwalimu Tabitha Mugini akitoa ufafanuzi kwa wanafunzi wa shule ya Msingi Tabora B umuhimu wa usafi wao,na mazingira yanayowazunguka kuwa ni kinga muhimu ya kuepuka magonjwa ya kuambukizwa yanayotokana na uchafu.
 Wanafunzi wanafuatilia maelekezo.
 Walimu Tabora B wakielezea mikakati yao.
 Ujumbe kwa njia ya nyimbo ulitolewa.
 Burudani toka kwa klabu ya mazingira
 Kibuyu Mchirizi nyenzo rahisi kwa usafi

Heshima ikatolewa

0 comments:

Post a Comment