Fahari ya Serengeti

Thursday, May 31, 2018

MAZISHI YA MWANAMKE ALIYEUAWA NA MPENZI WAKE

Baadhi ya wakazi wa kijiji cha Merenga wilaya ya Serengeti wakimstiri Neema aliyeuawa na mpenzi wake kutoka na wivu wa mapenzi.
Waombolezaji wakiwa nyumbani kwa Suzana ambaye alikuwa amemuoa Neema ndoa ya Nyumbanthobu.
Suzana aliyekuwa amemuoa Neema ndoa ya Nyumbathobu akiwa na wajukuu wake wawili walioachwa na mama huyo aliyeuawa na mpenzi wake kutokana na wivu wa mapenzi


Waombolezaji

Mwili wake ukipelekwa kaburini

Taratibu zinaendelea
Diwani Francis Garatwa akatoa ushauri wa watu kuacha matendo ya kuuana



Enzi zao mapenzi yakiwa motomoto



0 comments:

Post a Comment