Fahari ya Serengeti

Wednesday, May 16, 2018

USAFI KWA AFYA WAPUNGUZA MAGONJWA KWA WANAFUNZI MBIRIKIRI

Ofisa Michezo wilaya ya Serengeti Mkoa wa Mara Mayige Makoye akiongea na wanafunzi wa shule ya Msingi Mbirikiri kata ya Sedeko juu ya kutumia michezo kupeleka ujumbe kwa jamii Usafi kwa Afya ili kuhakikisha wanapiga vita magonjwa yanayosababishwa na uchafu.

Usafi kwa Afya ni Mradi unaotekelezwa kata za Kisangura na Sedeko chini ya shirika la amref health tanzania kwa ufadhili kutoka Spain

Maelekezo mbalimbali yakitolewa.

 Wanafunzi wakifuatilia maelekezo


 Wakiwasilisha michezo yao
 Wengine walipanda juu ya miti ili kuhakikisha wanaona yanayofanyika.



0 comments:

Post a Comment