Fahari ya Serengeti

Wednesday, May 9, 2018

RC MARA AKAGUA MASHAMBA YA PAMBA

 Wakati msimu wa pamba mkoa wa Mara ukizinduliwa mei 8 mwaka huu mkuu wa mkoa huo Adamu Malima ameendelea kutembelea mashamba ya pamba wilaya ya Serengeti na kuhimiza uundwaji wa ushirika
 Akikagua shamba katika kijiji cha Singisi wilaya ya Serengeti

 Hapa kazi tu hata kama ni jioni







Ukaguzi unaendelea

0 comments:

Post a Comment