Fahari ya Serengeti

Thursday, October 6, 2016

ZIARA ZA KUJENGA MAHUSIANO NA WAWEKEZAJI NDANI YA HIFADHI YA TAIFA YA SERENGETI

Viongozi wakitoka Kambi ya Kogatende ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Serengeti,ziara hiyo iliyoshirikisha viongozi ngazi ya wilaya na kutoka kata ya Machochwe na idara ya ujilani mwema hifadhi ya Senapa.
Viongozi wakiwa katika majadiliano.
Zablon Mtweve wa Ujilani hifadhi ya Taifa ya Serengeti akitoa taarifa kwa viongozi wa halmashauri ya wilaya ya Serengeti wakati wa ziara ya kutembelea kambi za kitalii zilizomo ndani ya hifadhi ya Taifa ya Serengeti zilizoko Kaskazini.




Issa Kassimu meneja wa Kambi ya Kitalii ya Nomard Lamai akitoa maelezo kwa viongozi wa halmashauri ya wilaya ya Serengeti

0 comments:

Post a Comment