Fahari ya Serengeti

Thursday, October 6, 2016

WAPATA MADAWATI KUPUNGUZA UKUBWA WA TATIZO

Wanafunzi wa shule ya Msingi Mugumu A iliyoko mjini Mugumu wilayani Serengeti wakiwa Chuo cha Chipuka kwa ajili ya kuchukua madawati ambayo yalinunuliwa na halmashauri ,shule hiyo imepata madawati 50 ,inakabiliwa na upungufu wa madawati 281.


Wanafunzi wanapelekea madawati shuleni


0 comments:

Post a Comment