Fahari ya Serengeti

Thursday, October 13, 2016

UV CCM SERENGETI WACHANGIA CHUPA 33 ZA DAMU

 Katibu wa CCM wilaya ya Serengeti akipima Presha kabla ya zoezi la uchangiaji damu katika wiki ya vijana ambapo jumla ya chupa 33 zilipatikana,anayefuata ni mkuu wa wilaya hiyo Nurdin Babu.
 Mwenyekiti wa UVCCM wilaya ya Serengeti Charles Makena akitoa maelezo ya zoezi la uchangiaji wa damu.
 Watu wanaendelea kuchangia damu.















0 comments:

Post a Comment