Fahari ya Serengeti

Monday, October 3, 2016

MWENYEKITI WA HALMASHAURI AANZA ZIARA YA KUTEMBELEA KAMBI ZA KITALII NDANI YA HIFADHI YA SENAPA

 Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Serengeti Juma Porini akisisitiza jambo katika kambi ya Kilima hoteli inayojengwa ndani ya hifadhi ya Taifa ya Serengeti wakati wa ziara yake aliyoambatana na wataalam,diwani na viongozi wa vijiji vinavyopakana na kambi hizo ,lengo likiwa ni kukutana na viongozi na wafanyakazi wa kambi hizo ili kujadiliana namna zinavyotakiwa kuchangia maendeleo ya wilaya,fursa za ajira kwa wazawa,mikataba ya wafanyakazi,na ununuaji wa bidhaa Mugumu badala ya Arusha.




 Majadiliano katika kambi ya Chaka yakiendelea
 Mkurugenzi wa kambi ya Alex Walkers Safaris Gerald Ambrose akimkaribisha Mwenyekiti na timu yake kwenye kambi hiyo iliyoko eneo la Kogatende

wakiwa kwenye mjadala

1 comment: