Fahari ya Serengeti

Monday, October 17, 2016

MADIWANI SERENGETI WAPIGWA BUMBUWAZI KUHUSIANA NA ATHARI ZA UKEKETAJI KWA WATOTO WA KIKE

 Meneja Mradi wa Tokomeza Ukeketaji Serengeti Godfrey Matumu(amref)akitoa ufafanuzi kwa Madiwani wa halmashauri ya wilaya hiyo jinsi mradi huo unavyotekelezwa katika semina ya Athari ya Ukeketaji Ukumbi wa Anita.
 Afisa Mradi wa Tokomeza Ukeketaji Serengeti William Mtwazi(LHRC)akifafanua sababu za madiwani kushiriki kwenye mradi huo ili kumwokoa mtoto wa kike wa Serengeti.
 Baadhi ya Madiwani wakiwa wanafuatilia mwezeshaji akitoa mada

 Madiwani wakiwa wanafanya jaribio la kupima uelewa juu ya masuala ya athari za ukeketaji na ukatili wa kijinsia wilayani humo.



 Madiwani wakiwa kwenye kazi za makundi
 Mijadala kimakundi inaendelea
 Wanajadiliana

 Mjadala mjadala
 Kila kundi likiendelea na mjadala



0 comments:

Post a Comment