Fahari ya Serengeti

Tuesday, October 11, 2016

SIKU YA HAKI YA MTOTO DUNAINI SERENGETI WANAFUNZI WA IKORONGO SECONDARY WATOA YA MOYONI

Wanafunzi wa sekondari ya Ikorongo wakiwa kwenye kongamano la kujadili matatizo ya ukeketaji yanavyochangia kuwadumaza kielimu ,na pia ndoa za utotoni


Mradi wa Tokomeza Ukeketaji Serengeti wawajengea uwezo watoto wa kike ili kupinga vitendo vya ukeketaji


Afisa Mradi wa Tokomeza ukeketaji Serengeti unaotekelezwa na Amref na LHRC kwa ufadhili wa UN Women William Mtwazi akifafanua madhara ya ukeketaji kwa watoto wa kike



0 comments:

Post a Comment