Fahari ya Serengeti

Monday, October 31, 2016

WAZEE WA MILA WA NGOREME WAAHIDI KUACHANA NA UKEKETAJI

...

GRUMETI YAMWAGA MISAADA SERENGETI NA BUNDA

 Mkurugenzi wa Singita Grumeti Stephen Cunliffe(kulia)akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa Mara Dk Charles Mlingwa msaada wa madawati 500 na Nyumbaya Mwalimu shule ya Msingi  Makundusi vyote vikiwa na  Thamani ya sh.198,160,970 kwa ajili ya wilaya za Serengeti na Bunda...

Monday, October 24, 2016

WAZEE WA INCHUGU WASEMA UKEKETAJI BASI

 Wazee wa mila wa koo ya Inchugu wilayani Serengeti wakiwa katika picha ya Pamoja na viongozi mbalimbali wa serikali ,taasisi za dini chini ya Mkuu wa wilaya hiyo Nurdin Babu katika ukumbi wa Anita Motel ,ambapo wazee hao wanaendelea na mafunzo ya athari ya ukeketaji...