Fahari ya Serengeti

Saturday, June 24, 2017

VIKUNDI 30 VYA VIJANA NA WANAWAKE SERENGETI VYAJAZWA MANOTI

 Baadhi ya wanavikundi vya vijana na wanawake kutoka maeneo mbalimbali wilayani Serengeti wakiwa kwenye mafunzo ya namna ya matumizi ya fedha za mikopo ambayo inatokana na asilimia tano ya makusanyo.
Halmashauri ya wilaya ya Serengeti kupitia makusanyo yake ya ndani imetoa zaidi ya sh 222 mil kwa kipindi cha mwaka wa fedha 2016/17 kwa vikundi vya wanawake na vijana.
 Mwezeshaji akiwajengea uwezo namna ya matumizi ya fedha za mikopo.
 Wanafuatilia mada



 Afisa vijana wilaya Isack Mwankusye akitoa ufafanuzi wa malengo ya mikopo na jinsi wanavyotakiwa kurejesha ili wengine waweze kunufaika.



0 comments:

Post a Comment