Fahari ya Serengeti

Monday, June 5, 2017

UJENZI WA HOSPITALI,MBUNGE/MWENYEKITI WACHANGIA MIFUKO 100 YA SARUJI

 Mbunge wa jimbo la Serengeti kulia Marwa Ryoba akimkabidhi Mkuu wa wilaya ya Serengeti Nurdin Babu mifuko 50 ya saruji kwa ajili ya ujenzi wa hospitali ya wilaya ya Serengeti ambayo inaendelea kujengwa kwa michango ya wadau mbalimbali.

 Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Serengeti Juma Porini kulia akimkabidhi mkuu wa wilaya ya Serengeti Nurdin Babu mifuko 50 ya saruji kwa ajili ya ujenzi wa hospitali ya wilaya ambayo inajengwa kwa michango ya wadau na serikali.
 Kazi ya kupiga lipu inaendelea


 Mbunge wa Jimbo la Serengeti Marwa Ryoba akiangalia kazi ya ujenzi wa Chujio katika bwawa la Manchira.
 Anaangalia kazi zinavyoendelea


 Maandalizi ya jiwe la Misngi hospitali ya wilaya ya Serengeti ambayo uzinduzi wake utafanywa na makamu wa Rais Samia Hassan Suluhu.



0 comments:

Post a Comment